15 April 2009

Kilimanjaro


Mlima Kilimajaro

Beckham asked for ID to buy a glass of wine

David Beckham was a superstar in Europe but when he moved to America a waiter demanded to see his ID and refused him a glass of wine, according to a book due out in July.

Asked for ID to buy glass of wine
"The Beckham Experiment," by Sports Illustrated writer Grant Wahl, features interviews with 33-year-old Beckham and other major figures in Los Angeles Galaxy, the soccer team he joined in 2007 after a stellar career in Europe.
The move to Los Angeles with his pop star wife Victoria Beckham was the latest chapter in a life story that has mixed celebrity with athletic prowess. Beckham signed a five-year deal worth an estimated $250 million and arrived in a blaze of publicity promising to help raise soccer's profile in America.
But after an injury-plagued first season and a total of five goals during his time with the Galaxy, Beckham, 33, made clear earlier this year he preferred to play with Italian club AC Milan, where he is on loan.
Household names in Britain and the rest of Europe, the Beckhams had struggled to translate their appeal to star-heavy Los Angeles and a celebrity media obsessed with the antics of Britney Spears and the expanding family of Angelina Jolie. Crown Publishing Group, a division of Random House that is part of Bertelsmann AG, said the book would provide an account of Beckham's "celebrity packaging and the inner workings of a Beckham team."
"Wahl provides a detailed account of Beckham's aspirations and worries about his American adventure, his interactions with Galaxy teammates making as little as $12,900 a year, his icy relationships with Galaxy star
Landon Donovan and former team president Alexi Lalas," Crown said in a statement.
It said it would also reveal the story of how Beckham's management company, 19 Entertainment, "engineered a shadow takeover of Galaxy."
The book also features Beckham discussing the technique of his trademark bending free-kick goals, his marriage to the former Spice Girl Victoria Beckham and his relationship with celebrities such as Tom Cruise.
Anecdotes include an occasion when Beckham was denied a glass of wine because he could not produce an ID document for a U.S. waiter who did not recognize him, Crown said. Many bars in the United States card people well over the age of 21, the legal age for drinking alcohol.
Beckham is currently on loan to AC Milan until the end of the Serie A season. He will then return to the Galaxy before likely going back to Italy in November.

12 April 2009

MACHEDA KAWACHEDA.........


Macheda akishangilia bao alilofunga na kuipeleka MAN YU on top,Aisee huyu mtoto ana kismart na ndiyo kwanza 17yrs,Pole kwa Liverpool na Chelsea naona mmejitahidi kufunga watu bao 4 lakini si kitu mbele ya MAN YU,ni hayo tu

09 April 2009

LIVA HAWATAWEZA KULIVUKA DARAJA LA HIDDINK

LIVERPOOL IMEPATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI UWANJA WA NYUMBANI,KIPIGO HICHO CHA BAO 3 KWA 1,KILIHITIMISHWA NA IVANACOV ALIYEFUNGA BAO 2 NA DROGBA ALIYEGONGELEA MSUMARI WA MWISHO HUKU GOLI LA UCHOKOZI LA LIVERPOOL LILIFUNGWA DAKIKA YA 6 NA TORRES WAKATI HUO HUO BARCA WALITOA DOZI YA RUNGU 4 KWA BUYERN MUNICH NA KUFANYA BUYERN WASAHAU KUHUSU NUSU FAINALI.MATOKEO YA JANA MAN YU 2 NA PORTO 2, VILLA REAL 1 NA ASERNAL 1.
HABARI NDIYO HIYO

07 April 2009

WAKOSOAJI TUNZO ZA KILI WANA MAJUNGU

Kwanza nachukua nafasi hii kuwapongeza Waandaaji na Walioshinda TUNZO ZA KILI MUSIC AWARDS.Pili nakubali kabisa kuna mapungufu mengi katika Tunzo hizi lakini cha msingi nawashauri Waandaaji wajitahidi kupunguza mapungufu na naamini ipo siku kila kitu kitakuwa sawa sawia.
Nakumbuka mwaka jana Bushoke alipopewa Tunzo ambayo si yake hilo mwaka huu alikutokea inaonesha jinsi gani Kamati husika mnavyojitaidi kuweka mambo mswano.
Kikubwa zaidi nachotaka kuelezea juu ya Magazeti na Blogs zinazoponda Waandaaji,kiukweli hawako katika lengo la kuwapa moyo Waandaaji bali ni kuwavunja moyo kwa maana Wanataja mapungufu waliyoyaona lakini hawaelezi jinsi gani ya kuyatatua,mfano wanasema nyimbo fulani imewekwa katika category ya zouk lakini sio ya zouk bila kutaja hiyo nyimbo ipo katika aina gani ya muziki,ok sio ya zouk sema basi nyimbo gani zilistahili ziwe katika hiko kipengele,hawasemi.
Tuwe na mawazo endelevu na sio ya kurudishana nyuma,hata kama unaandika hili uuze gazeti au kutaka blogs yako isomwe.Ni hayo tu.

31 March 2009

Wanazidi kushain 20 yearzzzzzz


Rais JK na Mkewe Mama Salima wakisherekea Miaka 20 ya ndoa yao.Blog inawapongeza na kuwatakia kila la kheri Maishani.

28 March 2009

R.I.P PRO.KEN EDWARDS

Buriani. Prof.Ken Edwards (Joshua Mkhululi) Mungu akulaze pema peponi.
22 January 1945 - 18-March-2009

Wengi wameguswa na msiba huu wa marehemu Prof.Ken Edwards maarufu pia kwa jina
la Kaka Joshua Mkhululi,Mwana wa Afrika halisi aliyezaliwa jamaika 22-January 1945 na kufariki Arusha,Tanzania 18-March 2009.

Marehemu Prof Ken Edwards atakumbukwa daima milele kwa mchango wake mkubwa
katika jamii ya watanzania na wafrika wenziwe kwa ujumla,kuanzia elimu ya juu mpaka katika maisha ya kawaida ya jamii ya watanzania,ambayo Prof.Ken alijichanganya na kujumuhika.
Prof.Ken Edwards alikuja Tanazania 1976 na kujiunga katika tahasisi ya elimu ya juu kabisa
CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM,ikimbukwe katika miaka hiyo ya 1976 nchi hilikuwa
katika uhaba mkubwa wa mahitaji ya mwanadamu kama vile vyakula mchele,unga na sukaari ulipatikana madukani kwa foleni! Prof.Ken alikubali kuwa pamoja na watanzania
akiamini kabisa kuwa Tanzania na Afrika ni kwao katika ardhi walikotoka mababu zake
miaka 500 hiliyopita,ambao walichukuliwa katika bishara ya utumwa.
Kipindi hicho chote kugumu kwa watanzania prof.ken alishea mda wake kwa kuwa pamoja
na watanzania na juhudi zake ziliweza kuanzishwa duka la ushirika la wafanyakazi wa chuo kikuu cha UDSM ambako yeye mwenyewe alikubali kuacha usomi wake! na kusimama dukani pale UDSM na kuhakikisha kuwa kila moja anapata jaapo kilo ya sukari na unga!
hili liliwashangaza wengi! Proffessor kushea maisha ya kawaidana watu wa maisha ya chini!

Prof.Ken Edwards !Mwanamichezo
Prof.Ken akuishia hapo bali alikuwa na moyo wa upendo kwa watanzania na wafrika kwa ujumla ! alitumia mda wake mwingi wa ziada kwa kushiriki kaatika maendeleo ya jamii
na alijua wazi KANDANDA ni mchezo unawaunanisha wanadamu wengi bila kujua tofouti zao ziwe za kikabila,dini,koo n.k,linapofikia swala la jamii na michezo Prof:Ken anauweka pembeni usomi na uprofesa wake na anarudi chini kushea na wafrika wenziwe na matunda
yake !alianzisha timu ya mpira (Kandanda) ya Vijana wa KUNDUCHI MTONGANI wakati huo Kunduchi hakukuwa na majengo yaliyo sasa bali kulikuwa USWAHILINI,Prof.Ken alikubalika na Vijana na wazee wote wa Kunduchi na kule ni Maarufu kwa jina la Kaka Ken(brother Ken)
au Kaka Mkhululi.

Prof.Ken na UAFRIKA
unapokuja katika swala la uafrika hapa ndipo utagundua kuwa Kaka Ken au Brother Mkhululi
Alikuwa ana upendo wa Afrika na kuwapenda wa afrika wenzie zaidi ya wafrika,hapa ndipo palipo mfanya Prof.Ken Edwards kufikia jina la Kaka Joshua Mkhululi,kwani alikuwa anaamini kabisa katika moyo wake wote kuwa kama si biashara haramu ya utumwa iliwafanya babu zake kupelekwa utumwani visiwani Karibeani,yeye angezaliwa Dar,au Arusha,Kama si Kigoma na Dodoma,labda Kilwa,Lindi au Mtwara na Penginepo Mwanza!

Swala hili la UAFRIKA ndilo liliomfanya Kaka Ken au Joshua Mkhululi kuja Tanzania kutumia elimu yake! kuchangia maendeleo katika ARDHI ambayo ni asili yake na aliamini kuwa AFRIKA NI KWAO,kwani ELIMU YAKE ingemweza kufanya kazi na kuishi mahala popote duniani,lakini alikubali KURUDI NYUMBANI,TANZANIA,na Afrika kwa Ujumla.

Mchango wa Prof.Ken kuanzia UDSM kama Proffessor! Kunduchi kama mwanakijiji na Baba
Mwanzilishi wa timu ya kandanda ya vijana,Kariakoo kama rafiki na mbwiga wa Ras,
ARUSHA kama Mzazi Mwanzilishi wa ESAMI! ambako aliishi na Familia yake Mke na watoto!
Prof.Ken alikuwa mstari wa mbele kwa kuwapa changa moto WASOMI NA WATAALAMU
wenye hasili ya Kiafrika ambao wamezaliwa nje ya bara la afrika kurudi nyumbani kuja
kuchangia maendeleo ya ardhi waliotoka mababu zao AFRIKA.
Mwisho Kabisa tunatoa pole kwa familia ya marehemu Prof.Ken Edwards pamoja na wote walioguswa na msiba huu.
Maelezo ya hapo juu yanatambulisha mchache aliyochangia Prof.Ken Edwards katika maisha ya kawaida lakini yapo mengi.Kuanzia Arusha,Dar-Es-Salaam,Tanzania.
Accra,Ghana,Mbabane,Swaziland na kungineko.
Ukalale Pema Peponi Prof.Keneth Edwards aka Joshua Mkhululi,Ulizaliwa Ugenini Jamaika
umefia Nyumbani ,Arusha ,Tanzania,Afrika.Wewe ni shujaa na Mwafrika wa kweli uliyejitoa muhanga kwa kuchangia elimu yako na usomi na utalaamu wako wa Afrika
Upendo wako kwa bara hili la Afrika! utakuwepo Daima Milele na Milele
Jah Rastafari:

NB:
Shukurani Kaka Makunja kwa picha na machache

26 March 2009

MAONI YAKO NI MUHIMU SANA...

NINI KIFANYIKE KATIKA KUBORESHA BLOG YETU
Thanks

24 March 2009

MPIGIE KULA KACHAA AOKOE HIKI KIZAZI

Hasheem amechaguliwa kuwa finalist wa Mens College Player of the Year awards.Kwa wale walioko Marekani wanaweza kupiga kura kwa kutuma sms 51234 ukiwa na ujumbe VOTE.Asilimia 25% za kura zitatokana na kura za washabiki.Ili kumpigia kura bofya hapahttp://www.thehrr.com/HRR_blog/2009/03/four-finalists-named-for-naismith-award.html

22 March 2009

BANGE,BANGI,MSUBA,GANJA,MARIJUANA,,,,,


Baada ya Mzee Pinda kutembelea Jiji na kuona ongezeko la vibaka wanaovuta bangi mpaka kwenye ukuta wa ikulu sasa moto umewaka jijini wanakamatwa watu wote, wavute bangi (msuba), wakabaji ama wenye sura za kinomanona ni Cetral tu. Sasa zoezi lingepelekwa mpaka uswahilini nadhani watu tungelala walau kwa wiki moja! Sasa hawa si wangepelekwa geza ulole wakazalishe tu?
kutoka kwa Mzee wa SUMO

WALIVYOGAWANA UMASIKINI

Waheshimiwa Wabunge walikuwepo katika kugawana UMASIKI.
Ferooz yeye na MR.POLICEMAN mpaka kieleweke,
Nature na Kifaa kipya cha Wanaume Halisi JB anatokea pande za Mabaga Fresh.
Sijui tuwaite Wachina au Wanigeria maana wametengeneza fulana feki na kuuza yaani ni utapeli mtupu,
Original hii hapa.

EUFA NA MAN YUU DAMU DAMU...

CHELSEA vs LIVERPOOL
BARCA vs BUYERN
VILLAREAL vs ARSENAR
MAN YU vs PORTO Hapa mdebwedo hao wajuu kazi wanayo.
Hivi Team gani itacheza na Man YU fainali?

18 March 2009

POLENIIIIIIIIIIII WANAYANGA NA WABONGO KWA UJUMLA

POLE YANGA KWA KIPIGO CHA MBWA MWIZI 3-O.

TUNZO ZA KILL


Tunzo za KILI ZAKWIVA, stay tune....

16 March 2009

NAKAYA NDANI YA CNN


Wadau wa mziki wa kizazi kipya watupie jicho katika kipindi maalumu cha INSIDE AFRICA kitakacho onyeshwa siku ya Jumanne 17-03-2009,Msanii wa mziki wa kizazi kipya Mwanadada NAKAYA na mahojiano yake na CNN kuhusu mziki huo,mwelekeo wake! na maana yake.
Kila la Heri

Twanga Na STYLE mpyaaaaaaaaaa





Wanenguaji Twanga Pepeta na staili zao za kisigino,pia wana staili nyingine ambazo hata jina lake halijafahamika ,balaa juu ya balaa.

15 March 2009

LiverFool Wametunyanyasa Leo Aibu..

Gerrard na Torres wakishangilia ushindi wao wa kishindo,Dah leo ilikuwa siku mbaya kweli kwa sisi Man Yu fans,maana bao 4 si mchezo, hata hivyo haikuwa kwetu tu maana Arsenal naye kakumbuka shuka wakati kumekucha kwa kumchampa blackburn 4,huko Italy Juventus imempiga Bolgna 4, na Spain Real Madrid imemalizia hasira zake za kufungwa na Liverpool kwa kumchapa 5 Atheletic Madrid.Dah mambo ndiyo kama hivyo.Vyoyote itakavyokuwa Man YUU ndiyo champions.

13 March 2009

Kofi Moja Mwaka Moja...

Kijana aliyempiga Mzee Ruksa amehukumiwa mwaka mmoja jera hii imetokana kwa kukiri kufanya kosa na kutoisumbua Mahakama.Wadau tutafute njia za kufikisha ujumbe si kama hii aliyotumia huyu mwezetu.ni hayo tu

ALI KIBA kufanya SHOW ulaya

Kwa wale wapenzi wa Bongo flava wakae makao wa kula Ali Kiba anakuja kuwapa raha huko huko Ulaya kunako March, kwa news zaidi stay tune

Ya WEMA mwachie WEMA mwenyewe..

Wadau kuna ukweli wowote juu ya majina tunayopewa na Wazazi wetu,kama vile shida,wema,siwema,tabu,zawadi,mtumwa,sikujua?

12 March 2009

ENGLISH FOOTBALL No 1











10 March 2009

NANI HUYU?



09 March 2009

Je ni Kweli?

Wadau kuna ukweli wowote juu ya teknolojia, Je kuna Ubush ndani ya Obama?

06 March 2009

INAFRICA BAND INAKAMUA ULAYA


Kikosi cha mashambulizi ndio kama unavyokiona hapo yaani kakosekana Banana tu.

05 March 2009

Hi

tupo pamoja wadau.

23 February 2009

WIZI MTUPU

.ExternalClass .EC_hmmessage P
{padding:0px;}
.ExternalClass body.EC_hmmessage
{font-size:10pt;font-family:Verdana;}
FROM: MR MOHAMED BUBA CREDIT BANK BENINOUAGADOUGOU-BURKINA FASODEAR FRIEND,THIS MESSAGE MIGHT MEET YOU IN UTMOST SURPRISE HOWEVER,IT'S JUST MY URGENT NEED FOR A FOREIGN PARTNER THAT MADE ME CONTACT YOU FOR THIS TRANSACTION.I AM A BANKER BY PROFESSION FROM OUAGADOUGOU-BURKINA FASO HERE IN WEST AFRICA AND CURRENTLY HOLDING THE POST OF FOREIGN REMMITTANCE MANAGER IN OUR BANK BURKINA FASO OFFICE .I HAVE THE OPPORTUNITY OF TRANSFERING THE LEFT OVER FUNDS $5.6 MILLION OF ONE OF MY BANK DECEASED CLIENT WHO DIED IN THE SHARTER PLANE WHICH CRASHED ON MOUNT KENYAN IN THE KENYAN CITY OF SUMBURU ON 21ST JULY,2003 TO ANY FOREIGN ACCOUNT .HENCE,I AM INVITING YOU FOR A BUSINESS DEAL WHERE THIS MONEY CAN BE SHARED BETWEEN US IN THE RATIO 60/40 IF YOU AGREE TO MY BUSINESS PROPOSAL. EAGERLY WAITING FOR YOUR RESPONSE.MR MOHAMMED BUBA

Bikini na BECKS



Siku David Beckham alipovaa Bikini.

TRAVELLAH...


Solo Thang aachia songi jipya linalokwenda kwa jina la TRAVELLAH,single hiyo imesheeni vina kibao ni utambulisho wa Albam yake ambayo itaitwa TRAVELLAH,kwa kusikiliza na kujua zaidi kuhusu SOLO unaweza ukatembelea web yake www.bongoflava.ning.com
ni hayo tu

20 February 2009

DOGO JANJA....


KP na Kipaka

Kipaka

Kipanya

19 February 2009

Duh!